Abbah – Mwagia Ndani Lyrics ft. Maua Sama, G Nako

Abbah The Evolution Album Lyrics

Abbah – The Evolution Album Lyrics

Mwagia Ndani Lyrics by Abbah ft Maua Sama, Mwagia Ndani Lyrics by Abbah ft G Nako

(Sounds by Abbah)

Long time niikuona eeh
Penzi kama tulianza jana
Sometimes ananikera
Nampea kwanza nawaza naye

Mafisi wanajikoki
Wataka penzi langu hawalipati
Ndo kwanza ye ananiposti
Pole wabambe itawakosti

Eeh tate nane tumeshibana
Eeh sa itakuwaje tukitengana

Tukiongozana si unaona
Bibi na bwana si unaona
Tunavyopendana si unaona
Mfupa kwa nyama si unaona

Boy now tell me what to do

Written by; Abbah, Maua Sama, G Nako
Released date; 26 February, 2021
Album/EP; The Evolution

 

Abbah Mwagia Ndani Lyrics ft Maua Sama, Abbah Mwagia Ndani Lyrics ft G Nako

    Lyrics Knowledge:

  • Written by:
  • Album:
  • Released: