Ali Mukhwana – Ni Kwa Neema Lyrics

Ali Mukhwana Watakusema

Ali Mukhwana – Watakusema Album

Ali Mukhwana Ni Kwa Neema Lyrics

Eeh ndugu yangu kuishi hapa duniani
Sio kwa nguvu zako

(Still Alive)

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mi, ndiposa ninaishi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako(Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni wewe uliyenichagua
Tena ukaniokoa
Baba ukaniweka duniani

Sio kwamba nimetenda mema
Au ninafaa sana
Bwana nimekuweka moyoni

Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako(Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Yesu peleleza moyo wangu bwana
Kama kuna njia iletayo majuto
Peleleza moyo wangu bwana
Bwana naomba nikupendeze

Peleleza moyo wangu bwana
Kama kuna njia iletayo majuto
Peleleza moyo wangu naomba
Baba naomba nikupendeze

Maana umenichagua, mimi kukutumikia
Nami najiachilia moyoni mwangu

Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Written by; Ali Mukhwana
Released date; 25 October, 2020

    Lyrics Knowledge:

  • Written by:
  • Album:
  • Released: