Aslay – Inauma Lyrics

Aslay Inauma Lyrics

Yeeeh lele
Loooh
Leeeh lelele
Oooh lolololoh
Lolo

Tuna siku tatu toka tumeachana
Yaani juzi kuamkia jana
Yaani hata week haijaisha
kinachonisikitisha tayari ameshapata bwana

Halafu hawazi
Haonyeshi dalili ya machozi
Yaani bonge la surprise amenifanyia
Mwili wote umeingiwa ganzi

Ina maana alikuwa ananisaliti
Ndiyo maana haikupita hata week
Inauma maumivu hayasimuliki
kuona wakipeti peti hadharani

wanajua kunirusha roho
wakiniona ndiyo wanashikana
malovebite kwenye shingo
kwa mdomo ndiyo wanalishana

Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Najikaza kisabuni lakini roho inauma
yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh Yala weeh inauma
Najikaza najikaza lakini ukweli inauma
Yala weeh yala weeh inauma

Aiyooooooo
lile lile
Aaaah lilele eeh

Jamani mi ndugu yenu ninateseka
Nitahama nivikimbie hivi vibweka
Majirani nao washaanza kunicheka
Nyimbo za mafumbo ameachwa ameachwa

Akili inanituma nikapigane
Ila mwana mbavu kajazia simuwezi
Natamani nimtukane
Ila nikimuona nabaki kigugumizi

Naomba wafe baharini waliwe na papa
Halafu yule papa avuliwe aletwe hapa
Nimle nishibe na miba niwape paka
Wivu umenishika nimechoka nimechoka

Wanajua kunirusha roho
Wakiniona ndiyo wanashikana
malovebite kwenye shingo
Kwa mdomo ndiyo wanalishana

Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Najikaza kisabuni lakini roho inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Najikaza najikaza lakini ukweli inauma
Yala weeh yala weeh inauma

Nasikia wivu
Inamaana magetoni ndiyo haji tena
Mwenzenu Nasikia wivu
Alivyonipa mimi anampa yule bwana
Nasikia wivu
Ooh inauma
Mwenzenu nasikia wivu
Jamani eeh inauma
Nasikia wivu
Inauma
Mwenzenu nasikia wivu
Nasikia nasikia
Nasikia wivu
Eeeh lele
Mwenzenu Nasikia wivu
Unaniumiza wivu

    Lyrics Knowledge:

  • Written by: Aslay
  • Album: Inauma
  • Released: 2023