Ben Pol – Walimwengu Lyrics

Ben Pol Walimwengu Lyrics

Ben Pol – Walimwengu Lyrics

Ben Pol Walimwengu Lyrics

Ah mwali wa dodoma chotara
Nairobi Kenya
Nitakulinda kwa panga bastola
Wasije ninyang’anya

Vijipesa navyokupa kukuhonga honga
Uvitunze vizuri
Nataka tujichange tununue kagari
Tuwe na usafiri

Na tufanye juhudi
Kiroba cha unga tuwe nacho ndani
Vichenji vikirudi kutoka dukani
Tuweke kibabani

Mchawi anaua alafu analia
Walimwengu jamani
Muda nakupotezea, nakuchezea
Utaskia wakisema

Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu

Asa twende kongwa tukatembee
Tinge moka koti la kitenge
Gauni la maua upendeze
Jioni turufi kwa Itembe

Furaha yetu yawatesa, maumivu kwao
Wanatapa tapa wanakerekwa, wana wivu hao
Wanakaa vikao visivyoisha, imekula kwao
Wanafanya kazi ya kanisa, kudadeki zao

Asa bam bam bam
Kama unainama bam bam bam
Fanya kuchutama bam bam bam
Zishaendana dam dam dam dam

Asa bam bam bam
Kama unainama bam bam bam
Fanya kuchutama bam bam bam
Zishaendana dam dam dam dam

Mchawi anaua alafu analia
Walimwengu jamani
Muda nakupotezea, nakuchezea
Utaskia wakisema

Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu

(The Mix Killer)

    Lyrics Knowledge:

  • Written by:
  • Album:
  • Released: