Kazi Iendelee Lyrics by Zuchu
Paukwa pakawa leo nina hadithi
Nataka kusimulia nataka kusimulia
Ilikuwa sawa kumbe kuzaliwa binti
Leo mi najivunia, leo mi najivunia
Alianza oh makamu
Ni kubwa yake nidhamu
Katiba ikamlazimu
Kuingia madarakani
Jina lake (Amhaa)
Samia Hassan Suluhu (Amhaa)
Ndo Rais wangu (Amhaa)
Ndo Rais wa Tanzania
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Kazi iendelee
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Kazi iendelee eh eh eh
Ee Mola wakimtoa imani
Mpe nguvu na ujasiri
Mkumbushe yeye nani
Yeye ni mama kamili
Harambee Harambee, mama tumpambe
Anaweza mama, naweza sana
Jina lake (Amhaa)
Samia Hassan Suluhu (Amhaa)
Ndo Rais wangu (Amhaa)
Ndo Rais wa Tanzania
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Kazi iendelee
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Aiyolela (Amhaa)
Kazi iendelee
Written by; Zuchu